JOSE CHAMELEONE - TUBONGE (OFFICIAL HD VIDEO)
3:39
JOSE CHAMELEONE - TUBONGE (OFFICIAL HD VIDEO)
To all my FANS WORLDWIDE, Am proudly unleashing this Gospel Tune 2014! Calif Entertainment "TUBONGE" (OFFICIAL HD VIDEO) ENJOY!! Twitter @JChameleone Instagram: @JChameleone https://www.facebook.com/josechameleone Calif Entertainment Africa Co. Ltd "LEONE ISLAND TUGENDE TUKOLE"
YouTubeJose Chameleone12.4M viewsNov 14, 2013
Lyrics
Tubonge, Chameleone anaomba tubonge
Mungu Baba, we long de
Gospel time now, ooh Lord...
Nina wewe wa kweli, katika wote ninaye ni wewe
Ana nipenda Chamili, bila kipimo unanipenda hakuna kiasi
Ningependa nikuone nikupe, vyote vyangu, nikupe chochote
Unachotaka chochote upate, lakini sina namna ya kukupata
Ungekua na fasi una ishi, hata ingekuwa mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe, ungekua na nambari ya simu
Facebook au Twitter, lakini hata sura yako uli ificha!
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana
Njo... I don't know what to do, to do, I'm waiting for you
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana...
Njo... Rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Rafiki yangu nimempa sasa tuuzo, anaa siri zangu nyingi siogopi mateso
Hao wabishi hawanitishi na mawazo, ninae ninae
Nkiwa kwangu sasa misitaki fujo, nikiwa naye siogopi the devil
Paddy man ongeza bass na treble, nimtajje kama ninaimba tangazo
Ungekua na fasi una ishi, hata ingekuwa mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe, ungekua na nambari ya simu
Facebook au Twitter, lakini hata sura yako ulificha!
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana
Njo... I don't know what to do, to do, I'm waiting for you
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana...
Njo... Rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Tubonge, Chameleone anaomba tubonge
Mungu Baba, we long de
Gospel time now, ooh Lord...
Njo nikupe chochote unataka, hatuja kutana mi nakufata
Njo... nikukaribishe kwangu, njo... nikupikie chakula taamu
Naomba nikuwoneshe na watoto wangu, njo... nikuwoneshe baba, mama wangu
Nikuwoneshe marafiki zangu, nami na moyo wangu
Ungekua na fasi una ishi, hata ingekuwa mbali vipi
Ningekuja nikuone wewe, ungekua na nambari ya simu
Facebook au Twitter, lakini hata sura ulificha!
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana
Njo... I don't know what to do, to do, I'm waiting for you
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana...
Njo... Rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana
Njo... I don't know what to do, to do, I'm waiting for you
Njo... Nimesubiri sana lini tutaonana...
Njo... Rafiki wa kweli, rafiki mileli kweli!
Feedback